Toleo Maalumu

Habari

MRATIBU ACT ATOBOA SIRI KUJIUNGA CCM

Na WAANDISHI WETU, Kigoma MRATIBU na mwanachama wa ACT-Wazalendo mkoani Kigoma, Said Bakema, ametoboa siri ya kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa muda mfupi aliyofanya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan mkoani humo ndiyo sababu iliyomfanya kuhamia CCM. Bakema alieleza hayo mkoani Kigoma katika mkutano wa […]

WASIRA : MAENDELEO YALIYOPO, UTHIBITISHO WA UONGOZI MAHIRI

Na ESTA MALIBICHE,  Iringa  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema maendeleo makubwa yaliyopo nchini ni uthibitisho wa uongozi mahiri uliofanywa na serikali chini uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Wasira aliyasema hayo mjini Iringa, wakati akizindua kampeni Jimbo la Iringa Mjini, iliyoambatana na kumnadi Mgombea wa Ubunge Jimbo la Iringa Mjini, […]

DK. MWINYI ATANGAZA NEEMA WAZEE ZANZIBAR

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuboresha maisha ya wazee kwa kuongeza pensheni jamii, pensheni za wastaafu na kuandaa mazingira bora ya makaazi, yatakayowapa heshima na utu katika uzee wao. Dk. Mwinyi, ametoa kauli hiyo Mjini Unguja, wakati alipokutana na viongozi wa dini, […]

CCM INASHINDWAJE KIGOMA – DK. SAMIA

NA MUSSA YUSUPH KIGOMA Mnashindwaje….? huo ndiyo msisitizo alioutoa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akiwahutubia umati wa wananchi waliofurika katika viwanja vya Katosho katika mkutano wake wa kampeni ambao umevunja rekodi kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi ikiwa ni ishara ya mapenzi yao kwa Dk. Samia. […]

KAMPENI YA DK. SAMIA YAACHA GUMZO TABORA

NA MUSSA YUSUPH, Tabora BURUDANI ya muziki kutoka kwa wasanii ililirindima katika viwanja vya Nanenae Ipuli mkoani Tabora katika kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Safari hii walikuwa Samia Kings ambao walishusha burudani kabambe iliyomfanya Dk. Samia kusimama jukwaani kujumuika na wananchi kuimba wimbo wa Tunaimani na […]

Uchaguzi

MRATIBU ACT ATOBOA SIRI KUJIUNGA CCM

Na WAANDISHI WETU, Kigoma MRATIBU na mwanachama wa ACT-Wazalendo mkoani Kigoma, Said Bakema, ametoboa siri ya kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa muda mfupi aliyofanya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan mkoani humo ndiyo sababu iliyomfanya kuhamia CCM. Bakema alieleza hayo mkoani Kigoma katika mkutano wa […]

WASIRA : MAENDELEO YALIYOPO, UTHIBITISHO WA UONGOZI MAHIRI

Na ESTA MALIBICHE,  Iringa  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema maendeleo makubwa yaliyopo nchini ni uthibitisho wa uongozi mahiri uliofanywa na serikali chini uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Wasira aliyasema hayo mjini Iringa, wakati akizindua kampeni Jimbo la Iringa Mjini, iliyoambatana na kumnadi Mgombea wa Ubunge Jimbo la Iringa Mjini, […]

DK. MWINYI ATANGAZA NEEMA WAZEE ZANZIBAR

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuboresha maisha ya wazee kwa kuongeza pensheni jamii, pensheni za wastaafu na kuandaa mazingira bora ya makaazi, yatakayowapa heshima na utu katika uzee wao. Dk. Mwinyi, ametoa kauli hiyo Mjini Unguja, wakati alipokutana na viongozi wa dini, […]

CCM INASHINDWAJE KIGOMA – DK. SAMIA

NA MUSSA YUSUPH KIGOMA Mnashindwaje….? huo ndiyo msisitizo alioutoa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akiwahutubia umati wa wananchi waliofurika katika viwanja vya Katosho katika mkutano wake wa kampeni ambao umevunja rekodi kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi ikiwa ni ishara ya mapenzi yao kwa Dk. Samia. […]

KAMPENI YA DK. SAMIA YAACHA GUMZO TABORA

NA MUSSA YUSUPH, Tabora BURUDANI ya muziki kutoka kwa wasanii ililirindima katika viwanja vya Nanenae Ipuli mkoani Tabora katika kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Safari hii walikuwa Samia Kings ambao walishusha burudani kabambe iliyomfanya Dk. Samia kusimama jukwaani kujumuika na wananchi kuimba wimbo wa Tunaimani na […]

Siasa

MRATIBU ACT ATOBOA SIRI KUJIUNGA CCM

Na WAANDISHI WETU, Kigoma MRATIBU na mwanachama wa ACT-Wazalendo mkoani Kigoma, Said Bakema, ametoboa siri ya kukihama chama hicho na kujiunga Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amesema utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa muda mfupi aliyofanya Rais Dk. Samia Suluhu Hassan mkoani humo ndiyo sababu iliyomfanya kuhamia CCM. Bakema alieleza hayo mkoani Kigoma katika mkutano wa […]

WASIRA : MAENDELEO YALIYOPO, UTHIBITISHO WA UONGOZI MAHIRI

Na ESTA MALIBICHE,  Iringa  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema maendeleo makubwa yaliyopo nchini ni uthibitisho wa uongozi mahiri uliofanywa na serikali chini uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Wasira aliyasema hayo mjini Iringa, wakati akizindua kampeni Jimbo la Iringa Mjini, iliyoambatana na kumnadi Mgombea wa Ubunge Jimbo la Iringa Mjini, […]

DK. MWINYI ATANGAZA NEEMA WAZEE ZANZIBAR

Na HANIFA RAMADHANI, Zanzibar MGOMBEA Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameahidi kuboresha maisha ya wazee kwa kuongeza pensheni jamii, pensheni za wastaafu na kuandaa mazingira bora ya makaazi, yatakayowapa heshima na utu katika uzee wao. Dk. Mwinyi, ametoa kauli hiyo Mjini Unguja, wakati alipokutana na viongozi wa dini, […]

CCM INASHINDWAJE KIGOMA – DK. SAMIA

NA MUSSA YUSUPH KIGOMA Mnashindwaje….? huo ndiyo msisitizo alioutoa Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan alipokuwa akiwahutubia umati wa wananchi waliofurika katika viwanja vya Katosho katika mkutano wake wa kampeni ambao umevunja rekodi kwa kuhudhuriwa na idadi kubwa ya wananchi ikiwa ni ishara ya mapenzi yao kwa Dk. Samia. […]

KAMPENI YA DK. SAMIA YAACHA GUMZO TABORA

NA MUSSA YUSUPH, Tabora BURUDANI ya muziki kutoka kwa wasanii ililirindima katika viwanja vya Nanenae Ipuli mkoani Tabora katika kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Safari hii walikuwa Samia Kings ambao walishusha burudani kabambe iliyomfanya Dk. Samia kusimama jukwaani kujumuika na wananchi kuimba wimbo wa Tunaimani na […]

Biashara

BILIONI 499/- ZAPATIKANA KUPITIA UTALII

Na Mwandishi Wetu  IDADI ya watalii wanaotembelea vivutio mbalimbali Tanzania imeongezeka kutoka 786,710 kwa mwaka wa fedha 2016/2017 hadi kufikia 1,493,135 kwa mwaka wa fedha 2024/2025 na kuchangia zaidi ya sh. bilioni 499 katika pato la Taifa. Kamishna Msaidizi kutoka Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), July Lyimo, alisema hayo jijini Arusha alipowasilisha mada katika […]

SERIKALI YAWATAKA WATANZANIA KUCHANGAMKIA FUSRA AFCON

Na AMINA KASHEBA SERIKALI imewataka Watanzania kujipanga na kuchangamkia fursa katika michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027). Michuano hiyo inatarajiwa kufanyika kwa mara ya kwanza katika nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Akizungumza Dar es Salaam, Katibu Mtendaji wa Baraza la Michezo wa Taifa (BMT), Neema Msitha amesema Watanzania wanatakiwa kuchangamkia fursa […]

Michezo

KAMPENI YA DK. SAMIA YAACHA GUMZO TABORA

NA MUSSA YUSUPH, Tabora BURUDANI ya muziki kutoka kwa wasanii ililirindima katika viwanja vya Nanenae Ipuli mkoani Tabora katika kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Safari hii walikuwa Samia Kings ambao walishusha burudani kabambe iliyomfanya Dk. Samia kusimama jukwaani kujumuika na wananchi kuimba wimbo wa Tunaimani na […]

SIKUKUU YA BURUDANI

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA ILE sikukuu ya burudani iliyosubiriwa na mashabiki wa Yanga kwa takriban mwaka mmoja imewadia, klabu hiyo ikipania mambo manne makubwa. Yanga leo inatarajiwa kuadhimisha kilele cha Tamasha la Siku ya Mwananchi (Mwananchi Day) katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mara ya mwisho klabu hiyo kufanya tamasha hilo ilikuwa […]

CHAMA MENO NJE SINGIDA BLACK STARS

Na NASRA KITANA ALIYEKUWA nyota wa Simba na Yanga, Clatous Chama ameweka wazi kuwa amefurahia kujiunga na Singida Black Stars kwani ni timu kubwa hivi sasa na amejipanga kuisaidia kufikia malengo yake. Chama aliyasema hayo baada ya mchezo wao dhidi ya Polisi ya Kenya katika mashindano ya Kagame yanayofanyika jijini Dar es Salaam. Akizungumza mara […]

GAMONDI ALIA NA MUUNGANIKO

Na NASRA KITANA LICHA ya kupata ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Polisi ya Kenya katika Kombe la Kagame, Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi, amesema bado kikosi chake hakina muunganiko mzuri. Singida ilipata ushindi huo katika mchezo wake wa pili wa michuano hiyo uliopigwa katika Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam. Awali, […]

MBAPPE AMFIKIA HENRY UFARANSA

PARIS, Ufaransa NAHODHA wa Ufaransa, Kylian Mbappe amesema kufikia idadi ya mabao yaliyofungwa na mkongwe Henry katika timu hiyo ya taifa ni jambo lisilo la kawaida. Mbappe amefikia mabao 51 yaliyofungwa na Henry katika timu hiyo baada ya juzi kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe […]

Burudani

KAMPENI YA DK. SAMIA YAACHA GUMZO TABORA

NA MUSSA YUSUPH, Tabora BURUDANI ya muziki kutoka kwa wasanii ililirindima katika viwanja vya Nanenae Ipuli mkoani Tabora katika kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Dk. Samia Suluhu Hassan. Safari hii walikuwa Samia Kings ambao walishusha burudani kabambe iliyomfanya Dk. Samia kusimama jukwaani kujumuika na wananchi kuimba wimbo wa Tunaimani na […]

SIKUKUU YA BURUDANI

ABDUL DUNIA Na NASRA KITANA ILE sikukuu ya burudani iliyosubiriwa na mashabiki wa Yanga kwa takriban mwaka mmoja imewadia, klabu hiyo ikipania mambo manne makubwa. Yanga leo inatarajiwa kuadhimisha kilele cha Tamasha la Siku ya Mwananchi (Mwananchi Day) katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Mara ya mwisho klabu hiyo kufanya tamasha hilo ilikuwa […]

MBAPPE AMFIKIA HENRY UFARANSA

PARIS, Ufaransa NAHODHA wa Ufaransa, Kylian Mbappe amesema kufikia idadi ya mabao yaliyofungwa na mkongwe Henry katika timu hiyo ya taifa ni jambo lisilo la kawaida. Mbappe amefikia mabao 51 yaliyofungwa na Henry katika timu hiyo baada ya juzi kufunga bao moja katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Ukraine katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe […]

ARAJIGA, KAYOKO HAOO CAFCL

Na MWANDISHI WETU WAAMUZI wanne wa Tanzania wameteuliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (CAF), kuchezesha mchezo wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFC) kati ya ASCK ya Togo na RS Berkane kutoka Morocco. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), waamuzi hao ni Ahmed Arajiga, Mohamed Mkono, Kassim […]

Maoni ya Mhariri

Mitandao ya Kijamii

Instagram

Tiktok

error: Content is protected !!