Uhuru Publications Ltd - Gazeti Uhuru, Mzalendo na Burudani

Sunday
Sep 05th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size

Biashara za Kimataifa

Utashi kisiasa muhimu kwa uboreshaji ardhi

NA MAGRETH KINABO, MAELEZO

RAIS mstaafu wa Mauritius, Karl Offmann, amesema utashi wa kisasa unahitajika katika uboreshaji wa ardhi, ili ukuaji uchumi uwe wa mafanikio barani Afrika. Offmann alisema hayo jana

Read more...
 

Wizara yaongeza thamani ya madini

NA SHAABAN MDOE, ARUSHA

WIZARA ya Nishati na Madini imeanza utekelezaji wa sera mpya ya madini kuhusu kuongezwa thamani kwa aina zote za madini, yakiwemo mawe na miamba mb...

Read more...

Dk. Kawambwa aipa somo TPA

NA MOHAMMED ISSA

MAMLAKA ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), imetakiwa kuweka mkakati wa kuvutia wawekezaji ambao watawekeza katika shughuli za kuhudumia makasha na sh...

Read more...

Uwanja cha ndege wa Z’bar wapata mwekezaji

NA MWANDISHI WETU,ZANZIBAR

KAMPUNI ya viwanja vya ndege ya Abu Dhabi (ADAC) imeeleza nia ya kuwekeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Karume Zanzibar. Rais wa ...

Read more...

Kakao yapata soko Marekani

Na Mwandishi Wetu

KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kimesema wakulima wa kakao mkoani Mbeya wanatarajia kunufaika na ujio wa Kampuni ya Askinosie Chocolate Ltd ya Marekan...

Read more...
  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  Next 
  •  End 
  • »
Page 1 of 4

Magazeti Yetu

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila siku

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila Jumapili

Habari za Michezo, Tamthilia, Makala na Burudani kila Alhamisi

Toa Maoni Yako

Hali ya Kisiasa Tanzania