BENKI ya Rasilimali Tanzania (TIB) kwa kushirikiana na Wizara ya Fedha na Uchumi na Benki Kuu (BoT), imeandaa mwongozo wa ukopeshaji, bunge limeelezwa. Akijibu swali bungeni jana, Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Yusuf Omar Mzee alisema mwongozo huo ulipitishwa na serikali Desemba mwaka jana kwa masharti yaliyokubalika. Mzee aliyataja masharti hayo





