Uhuru Publications Ltd - Gazeti Uhuru, Mzalendo na Burudani

Sunday
Sep 05th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size

Gazeti la Uhuru

Simba kuivaa Gor Mahi leo

NA SOPHIA ASHERY
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, Simba, leo wanajitupa uwanjani kucheza na Gor Mahia ya Kenya, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika kwenye Uwanja wa

Read more...
 

Simba, Yanga kuumana CCM Kirumba

NA SOPHIA ASHERY
MCHEZO wa watani wa jadi Simba na Yanga wa Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa kwanza utakaofanyika Oktoba 16 mwaka huu utafanyika  katika Uwanja wa CCM, K...

Read more...

Kayuni: Siutaki ukatibu mkuu TFF

NA SOPHIA ASHERY
KAIMU Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Sunday Kayuni, ameikana nafasi ya Katibu Mkuu wa shirikisho hilo na kusema hana nia ya kuomba kuajir...

Read more...

Stars uso kwa uso na Algeria

Stars uso kwa uso na Algeria

 Na Florian Kaijage, Algiers
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo inashuka dimbani kwenye uwanja wa Tshaker katika kitongoji cha Blida jijini hapa, kukabiliana na w...

Last Updated ( Friday, 03 September 2010 11:17 )

Read more...

Yanga yadaiwa zaidi ya sh. milioni 252

NA SOPHIA ASHERY
CHAMA cha Wachezaji Tanzania (SPUTANZA), kimeupa siku nne uongozi wa klabu ya Yanga kuhakikisha inawalipa fedha zao wachezaji wake wanne iliyowakatisha mk...

Read more...
  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  6 
  •  7 
  •  8 
  •  9 
  •  10 
  •  Next 
  •  End 
  • »
Page 1 of 35

Magazeti Yetu

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila siku

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila Jumapili

Habari za Michezo, Tamthilia, Makala na Burudani kila Alhamisi

Toa Maoni Yako

Hali ya Kisiasa Tanzania