Uhuru Publications Ltd - Gazeti Uhuru, Mzalendo na Burudani

Saturday
Sep 04th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home Makala Michezo na Burudani

Michezo na Burudani

Panucci mzimu wa Italia unaostaafu kwa heshima

ROME, Italia

AGOSTI 22, medani ya soka nchini Italia ilipata pigo baada ya mchezaji mkongwe wa kimataifa aliyecheza kwa mafanikio makubwa katika kikosi cha timu ya taifa 'Azzuri', Christian Panucci,

Read more...
 

FM academia yajipanga kutoka upya

NA KHADIJA MUSSA

KAMA wewe ni mpenzi au mdau wa muziki wa dansi nchini, unapozungumzia magwiji wa muziki huo, hasa katika utunzi, kupanga muziki na uchezaji, hapana shaka ...

Read more...

Mariga amenena, TFF na wachezaji mmemsikia

NA ABDALLAH MWERI

AGOSTI 11, timu ya taifa, 'Taifa Stars' ilitoka sare bao 1-1 na Kenya, 'Harambee Stars' katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Uhuru...

Read more...

Nick Cannon: Mariah Carey ananipagawisha

WAKATI baadhi ya wanandoa, wamekuwa wakihaha kunusuru  ndoa zao zisivunjike kutokana na kuwepo tofauti baina yao, Nick Cannon ameeleza katika maisha yake ya ndoa yamejaa ...

Read more...

Blanc: Kocha mpya anayeanza kazi kwa mikwara

PARIS, Ufaransa

NGULI wa zamani wa Ufaransa, Laurent Blanc, amechukua uamuzi mzito wa kuwatema wachezaji wote wa timu ya taifa ya nchi hiyo, muda mfupi baada ya

Last Updated ( Monday, 26 July 2010 12:17 )

Read more...
  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  Next 
  •  End 
  • »
Page 1 of 5

Kutoka Magazetini

 

TANZANIA ni nchi ya demokrasia yenye kufuata mfumo wa vyama vingi

,  kwa wananchi kuwachangua rais, wabunge na madiwani wanaowataka

 

RAIS wa Zanzibar, Amani Abed Karume

 

 

Umati wa wanaccm wakijimwaga kumlaki mgombea Urais

Umati wa wanaccm wakijimwaga kumlaki mgombea Urais kwa tiketi ya ccm Jk mkoni Mbeya hivi k...

 

MGOMBEA mwenza wa Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mohammed Gharib Bilal

, akimnadi kwa wapigakura, mgombea ubunge wa jimbo la Mtwara Vijijini (CCM), Hawa Ghasia k...

 

Mgombea ubunge wa ccm Amos makalla akisalimiana na wananchi jimbo la Mvomero Morogoro. (Picha na Yassin Kayombo).

Magazeti Yetu

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila siku

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila Jumapili

Habari za Michezo, Tamthilia, Makala na Burudani kila Alhamisi

Toa Maoni Yako

Hali ya Kisiasa Tanzania