NA CAROLYNE MADOSHI, SAUT
UKIMWI ni ugonjwa hatari unaozidi kuwa tishio duniani, ingawa kwa mtazamo wa mtu mmoja mmoja inaonekana ni jambo la kawaida. Kwani, kila mtu anaweza kufikiri awezavyo, mwingine anaweza kuona kama ni jambo dogo na mwingine akaona ni tatizo kubwa. Kama watu wote duniani wangekuwa na mtazamo mmoja, ukimwi usingekuwa tatizo tena,






