
NA MWANDISHI MAALUMU, ACCRA, GHANA
VIONGOZI wa Afrika wamesema wakati wa maneno umekwisha, na kwamba sasa kuna haja ya kubadili mikakati ya kuinua kilimo ili kiweze kuleta tija na manufaa kwa wakazi wa bara hili. Hayo

NA MWANDISHI MAALUMU, ACCRA, GHANA
VIONGOZI wa Afrika wamesema wakati wa maneno umekwisha, na kwamba sasa kuna haja ya kubadili mikakati ya kuinua kilimo ili kiweze kuleta tija na manufaa kwa wakazi wa bara hili. Hayo
WASHINGTON, Marekani
VIONGOZI wa Israel na Palestina, wamekubaliana kuanzisha upya mazungumzo ya amani katika Ukanda wa Gaza na kukutana tena wiki mbili zijazo. Kwa mujibu...
MAPUTO, Msumbiji
HALI nchini humu imeendelea kuwa tete baada ya serikali kutangaza kwamba haitapunguza bei za vyakula, licha ya ghasia zinazofanywa na wananchi. Kutokana n...

WASHINGTON, Marekani
RAIS Barack Obama amewataka viongozi wa Israel na Palestina, kutoacha fursa ya mazungumzo ya amani ipite bila mafanikio kwani haiwezi kutokea tena ka...
Last Updated ( Friday, 03 September 2010 10:14 )
Read more...BAGHDAD, Irak
MAKAMU wa Rais wa Marekani, Joe Biden amesema anaamini mzozo wa kisiasa nchini Irak unakaribia kumalizika, imeelezwa. Alisema maafisa wa nchi hiyo wataunda s...
JOHANESBURG, Afrika Kusini
MGOMO wa wafanyakazi wa umma uliodumu kwa wiki tatu sasa, utaendelea kwa muda usiojulikana, imefahamika. Hatua hiyo inatokana na Chama cha Muung...

Johannesburg, Afrika Kusini
SERIKALI ya Afrika Kusini imekubali kuongeza malipo ya mshahara kwa watumishi wa umma hadi kufikia asilimia 7.5, kufuatia majadiliano ya muda m...
Last Updated ( Thursday, 02 September 2010 09:43 )
Read more...MEXICO CITY, Mexico
POLISI imemtia mbaroni mfanyabiashara maarufu wa dawa za kulevya Edgar Valdez. Valdez, raia wa Marekani maarufu kama Barbie, anatuhumiwa kuhusika na bi...
BEIJING, China
MWANAUME mmoja amefungua kesi mahakamani kudai kunyanyapaliwa baada ya kunyimwa kazi kwa vile anaishi na virusi vya ukimwi. Habari zinasema hii ni mara ya k...