
Na Furaha Omary
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba anadaiwa kumweleza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Fedha na Uchumi, Gray Mgonja, kuhusu mkataba baina ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na Kampuni ya

Na Furaha Omary
ALIYEKUWA Waziri wa Fedha, Basil Mramba anadaiwa kumweleza aliyekuwa Katibu Mkuu wa Fedha na Uchumi, Gray Mgonja, kuhusu mkataba baina ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), na Kampuni ya
Na Fadhili Abdallah, Tabora
WAGOMBEA urais wa vyama vya upinzani wametakiwa kuacha kumtaja Rais Jakaya Kikwete kwenye mikutano ya hadhara, badala yake wawaeleze wananchi w...
NA BASHIR NKOROMO
JUMUIA ya Wazazi Wilaya ya Kinondoni imesema mgombe urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete, atapata kura nyingi zaidi ya zilizompa ushindi mwaka 20...
Na Ahmed Makongo, Ukerewe
MGOMBEA ubunge kwa tiketi ya CCM jimbo la Ukerewe, Balozi Gertude Mongella, amewataka wanawake ambao kura za maoni kuwania ubunge na udiwani hazi...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema bara la Afrika linaweza kujilisha na kuuza chakula katika nchi nyingine duniani. Pinda alisema Afrika inaweza kufanya h...
NA MWANDISHI MAALUMU, HANANG, MANYARA
MWENYEKITI wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Mama Salma Kikwete amekemea kampeni zinazofanyika kwa misingi ya udini na ukab...
NA WAANDISHI WETU
BARAZA la Ushauri la Vyama vya Siasa linatarajiwa kukutana kujadili na kutoa taarifa ya mwenendo wa kampeni za uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 31, mw...

NA MWANDISHI WETU, GEITA
KATIKA hali isiyo ya kawaida, wanachama na baadhi ya viongozi wa CHADEMA wilayani Geita, wamezua vurugu hadharani kutokana na deni la sh. 10,000. ...
Last Updated ( Friday, 03 September 2010 12:35 )

NA SELINA WILSON
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CCM, Rais Jakaya Kikwete, kesho anatarajiwa kunguruma katika mkutano wa kampeni utakaofanyika viwanja vya Kongowe Kati, mjini ...
Last Updated ( Friday, 03 September 2010 11:08 )
Read more...