Uhuru Publications Ltd - Gazeti Uhuru, Mzalendo na Burudani

Sunday
Sep 05th
Text size
  • Increase font size
  • Default font size
  • Decrease font size
Home Habari za Burudani na Michezo

Habari za Michezo

Simba kuivaa Gor Mahi leo

NA SOPHIA ASHERY
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara, Simba, leo wanajitupa uwanjani kucheza na Gor Mahia ya Kenya, katika mchezo wa kirafiki wa kimataifa utakaofanyika kwenye Uwanja wa

Read more...
 

Simba, Yanga kuumana CCM Kirumba

NA SOPHIA ASHERY
MCHEZO wa watani wa jadi Simba na Yanga wa Ligi Kuu Tanzania Bara mzunguko wa kwanza utakaofanyika Oktoba 16 mwaka huu utafanyika  katika Uwanja wa CCM, K...

Read more...

Kayuni: Siutaki ukatibu mkuu TFF

NA SOPHIA ASHERY
KAIMU Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka nchini (TFF), Sunday Kayuni, ameikana nafasi ya Katibu Mkuu wa shirikisho hilo na kusema hana nia ya kuomba kuajir...

Read more...

Stars uso kwa uso na Algeria

Stars uso kwa uso na Algeria

 Na Florian Kaijage, Algiers
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, leo inashuka dimbani kwenye uwanja wa Tshaker katika kitongoji cha Blida jijini hapa, kukabiliana na w...

Last Updated ( Friday, 03 September 2010 11:17 )

Read more...

Yanga yadaiwa zaidi ya sh. milioni 252

NA SOPHIA ASHERY
CHAMA cha Wachezaji Tanzania (SPUTANZA), kimeupa siku nne uongozi wa klabu ya Yanga kuhakikisha inawalipa fedha zao wachezaji wake wanne iliyowakatisha mk...

Read more...

Papic ashupalia Uwanja wa Taifa

Papic ashupalia Uwanja wa Taifa

NA MWANDISHI WETU
WAKATI uongozi wa Yanga ukihaha kusaka uwanja wa kuutumia katika michezo yake ya nyumbani ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Kostadin Pa...

Last Updated ( Thursday, 02 September 2010 09:40 )

Read more...

Rage lawamani

NA MWANDISHI WETU
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa klabu ya Simba, Ismail Rage, kusema uongozi wake haulitegemei kundi la 'Frends of Simba', uongozi wa kundi hilo umesema ...

Read more...

Hatutishwi na Algeria - Nsajigwa

Na Athanas Kazige
NAHODHA wa Taifa Stars, Shadrack Nsajigwa, amewapiga mkwara wachezaji wa Algeria kwamba wao hawatishwi na rekodi yao ya kucheza fainali za Kombe la Dunia...

Read more...

Simba yaiburuza mahakamani Mwanaspoti

NA ABDUL MIKIDADI
UONGOZI wa klabu ya Simba umelipeleka mahakamani gazeti la Mwanaspoti likilidai kulipa sh. bilioni moja, inachodai kuchapisha habari za uzushi na uchonga...

Read more...
  • «
  •  Start 
  •  Prev 
  •  1 
  •  2 
  •  3 
  •  4 
  •  5 
  •  6 
  •  7 
  •  8 
  •  9 
  •  10 
  •  Next 
  •  End 
  • »
Page 1 of 23

Kutoka Magazetini

 

TANZANIA ni nchi ya demokrasia yenye kufuata mfumo wa vyama vingi

,  kwa wananchi kuwachangua rais, wabunge na madiwani wanaowataka

 

RAIS wa Zanzibar, Amani Abed Karume

 

 

Umati wa wanaccm wakijimwaga kumlaki mgombea Urais

Umati wa wanaccm wakijimwaga kumlaki mgombea Urais kwa tiketi ya ccm Jk mkoni Mbeya hivi k...

 

MGOMBEA mwenza wa Rais Jakaya Kikwete, Dk. Mohammed Gharib Bilal

, akimnadi kwa wapigakura, mgombea ubunge wa jimbo la Mtwara Vijijini (CCM), Hawa Ghasia k...

 

Mgombea ubunge wa ccm Amos makalla akisalimiana na wananchi jimbo la Mvomero Morogoro. (Picha na Yassin Kayombo).

Magazeti Yetu

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila siku

Habari za Kitaifa, Kimataifa, Uchumi, Biashara na Michezo kila Jumapili

Habari za Michezo, Tamthilia, Makala na Burudani kila Alhamisi

Toa Maoni Yako

Hali ya Kisiasa Tanzania