KATIKA hatua inayoonekana kusaka muarobaini wa tatizo la uchakachuaji mafuta ya petroli, na mbinu za wafanyabiashara wa mafuta wanaokwepa kulipa kodi ya bidhaa hiyo, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji (EWURA) ikishirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), wiki iliyopita ilianza kuweka alama ya kemikali katika mafuta ya petroli, dizeli na



Maoni na Barua


