Na Khamis Hamad
MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imeunda kamati ambayo itayafanyia kazi mapendekezo ya ripoti ya ukaguzi iliyotolewa na Shirika la BPA World Wide. Mkurugenzi Mkuu wa
Na Khamis Hamad
MAMLAKA ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tantrade) imeunda kamati ambayo itayafanyia kazi mapendekezo ya ripoti ya ukaguzi iliyotolewa na Shirika la BPA World Wide. Mkurugenzi Mkuu wa
Na Igamba Libonge, Morogoro
Jacqueline alisema baada ya kutembelea viwanda wamebaini upungufu katika uzalishaji na mazingira ya uzalishaji, hivyo kutoa ushauri wa kurekebi...

NA MWANDISHI WETU
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda, ameitaka Afrika kubeba mzigo wa kuhakikisha inazalisha chakula cha kutosha na kuepuka kutegemea mabara mengine. Pinda aliyasem...
Last Updated ( Friday, 03 September 2010 10:11 )
Read more...Na Farida Msengwa, Morogoro
WAZALISHAJI wa maziwa wa mikoa ya Tanga na Iringa watawezeshwa ili kuzalisha maziwa yenye ubora na hivyo kuwapatia kipato kitakachotokana na so...
KHADIJA MUSSA
SERIKALI imetoa sh. milioni 650 kama mkopo wenye riba nafuu kwa kampuni nne za wachimbaji wadogo wa madini ili kurahisisha upatikanaji wa nyenzo za uchimbaj...
NA MAGRETH KINABO, MAELEZO
RAIS mstaafu wa Mauritius, Karl Offmann, amesema utashi wa kisasa unahitajika katika uboreshaji wa ardhi, ili ukuaji uchumi uwe wa mafanikio bar...
NA WILSON KIMARO
MKAZI wa Kimara Kibo, mjini Dar es Salaam, amepandishwa kizimbani kujibu shitaka la kupatikana na ngozi za chui na pundamilia kinyume na sheria za nchi. B...
NA FURAHA OMARY
MFANYABIASHARA Tonny Ngombale-Mwiru, anayekabiliwa na kesi ya kujipatia sh. milioni 424.4 kwa njia ya udanganyifu, ameendelea kusota rumande baada ya kushi...
NA SHAABAN MDOE, ARUSHA
WIZARA ya Nishati na Madini imeanza utekelezaji wa sera mpya ya madini kuhusu kuongezwa thamani kwa aina zote za madini, yakiwemo mawe na miamba mb...